Tumesaini rasmi mkataba mpya wa Kihistoria na timu iliyopo ligi Kuu Young Africans SC kwa Miaka Mitatu kama mdhamini mkuu Spprtpesa ikiwa kama timu yako ya ushindi itaendelea kuipa thamani na kuinua sekta ya michezo nchini Tanzania #SportpesaMkwanjaKilaSiku #SportpesaTZ #Sportpesa 419 views12:50